Featured

    Featured Posts

MBINU ZA KUFUNDISHA

                                                    MBINU ZA KUFUNDISHA



Uchaguzi bora wa Mbinu na Njia za Kufundishia


Mbinu na Njia za Kufundishia

Ni Jumla ya vitendo vya maandalizi ya somo linalokusudiwa, matumizi ya vifaa vya kufundishia na kujifunzia, vitendo vya mwanafunzi katika harakati za kujifunza na jukumu la Mwalimu kinadharia na vitendo katika ufundishaji na ujifunzaji.
Maana ya Mbinu za Kufundishia
Ni mwongozo mbalimbali atumiao Mwalimu darasani wakati wa kuwasilisha somo alilioliandaa kwa wanafunzi wake.
Mwalimu anapashwa kuaamua kwa kuchagua kwa makini Njia na Mbinu bora za kufundishia ili wanafunzi wake waweze kujifunza kwa ufanisi.
Misingi ya kuchagua njia na mbinu ni kuzingatia mambo yafuatayo:-
Maudhui ya somo.
  • Mwalimu lazima azingatie hali ya somo, maarifa na stadi anayopaswa kujenga mwanafunzi.
Hali  na umri wa wanafunzi wako.
  • Mwalimu lazima azingatie umri wa wanafunzi, kukomaa au kutokomaa kwa akili za wanafunzi na mazingira yao ya nyumbani na ya shuleni.
Malengo ya somo.
  • Bainisha mambo ambayo wanafunzi wako wanataka kufanikisha katika maisha yao.
Uwezo wa Mwalimu juu ya somo au mada husika.
  • Zingatia uwezo wako, ujuzi, utaalamu ulionao katika kutumia mbinu au njia inayotarajiwa.
Vifaa na zana za kufundishia na kujifunzia.
  • Zingatia upatikanaji wa zana na vifaa shuleni au katika mazingira ya shule (Zingatia ufaraguzi wa Zana).
Vionjo na hali ya wanafunzi.
  • Njia au mbinu utakazotumia zioane na vionjo na hali za wanafunzi. Njia zisipingane na sifa hizo kwani malengo ya somo hayawezi kufanikisha

CIVICS.................GLOBALIZATION

Globalization

  written by shamily
o656 848274
dodoma tz


Globalisation is not a new phenomena. The worinterdependent for a long time. However, in recent decades the process of globalisld economy has become increasingly ation has accelerated, this is due to a variety of factors, but important ones include improved trade, increased labour and capital mobility and improved technology.

Main Reasons that have caused Globalisation

  1. Improved transport, making global travel easier. For example, there has been a rapid growth in airtravel, enabling greater movement of people and goods across the globe.
  2. Containerisation. From 1970, there was a rapid adoption of the steel transport container. This reduced  the costs of inter-modal transport making trade cheaper and more efficient.
  3. Improved technology which makes it easier to communicate and share information around the world. E.g. internet
  4. Growth of multinational companies with a global presence in many different economies.
  5. Growth global trading blocks which have reduced national barriers. (e.g. European Union, NAFTA, ASEAN)
  6. Reduced tariff barriers encouraging global trade. Often this has occurred through the support of the WTO.
  7. Firms exploiting gains from economies of scale to gain increased specialisation. This is an important feature of new trade theory.
  8. Growth of global media.
  9. Global Trade Cycle. Economic growth is global in nature. This means countries are increasingly interconnected. (e.g. recession in one country affects global trade and invariably causes an economic downturn in major trading partners.)
  10. Financial system increasingly global in nature. When US banks suffered losses due to sub-prime mortgage crisis, it affected all major banks in other countries who had bought financial derivatives from US banks and mortgage companies.
  11. Improved mobility of capital.  In past few decades there has been a general reduction in capital barriers, making it easier for capital to flow between different economies. This has increased the ability for firms to receive finance. It has also increased the global interconnectedness of global financial markets.
  12. Increased mobility of labour. People are more willing to move between different countries in search for work. Global trade remittances now play a large role in transfers from developed countries to developing countries.


EFFECT OF GLOBALIZATION DIAGRAM

·           ASPECT OF GLOBALIZATION   
 Democratization
Privatization
Free market
Multipartism
Freedom of massmedia
Freedom of using internate
Culture interaction
Population growth
Forgners investmen

FACTOR INFLUENCE DEMOCRATIZATION

1..education
2..civil society e.g  NGOS
3..freedom of mass media
4.. freedom of cellular network


nots zaidi zipo njiani.................by shamily
0656 848274

Prepared by shamily
Email…shamilysaidi@gmail.com
0656 848274

DODOMA TANZANIA

www.CodeNirvana.in

Inaendeshwa na Blogger.

Translate

Total Pageviews

Copyright © tunda | Designed By Code Nirvana